Kajala asema: ‘Sina tatizo na Wema na hata huyo bwana wake simjui’
Moja
kati waigizaji kutoka Bongo movie Kajala Masanja ambaye ni rafiki wa
karibu na Wema Sepetu alikumbwa na skendo kuwa kwa sasa anatembea na
Ex(mpenzi wa zamani) wa Wema Sepetu ambapo watu wanaojiita ‘Team wema’
kumzushia jambo hilo.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni